
Mahasimu katika kinyang'anyiro cha uchaguzi wa rais nchini Marekani wamezidi kukosoana kuhusu mipango yao ya kufufua uchumi endapo watachaguliwa kuingia madarakani.
Wanasiasa hao wameelekeza nguvu zao kwenye majimbo muhimu ambayo kura za wajumbe wa kumchagua rais mara nyingi huamua mshindi.
Wanasiasa hao wameelekeza nguvu zao kwenye majimbo muhimu ambayo kura za wajumbe wa kumchagua rais mara nyingi huamua mshindi.
No comments:
Post a Comment