Monday, October 27, 2008

NAKO 2 NAKO KAMA P-SQUARE




Baada ya P-Square kufanya kweli kupitia wimbo wa “Do Me” wana hip hop kutoka pande za A-City aka Arusha wanatarajia kuachia dude lao jipya linalojulikana kwa jina la “Do It”

Akiongea na muzikimnene moja kati ya memba wa kundi hilo Ibra Da Hustle anasema kuwa mkono huo umefanyika ndani ya Kama Kawa Records ya Dar pia mpaka sasa wameshakamilisha albam yao mpya ambayo yote imerekodiwa ndani ya wiki mbili ndani ya Bongo Records.

No comments: