Saturday, October 18, 2008

MZIGO MKUBWA NDANI YA BONGO




Jamani eehh hivi si tuliamabiwa kuwa magari makubwa yanakuja halafu vipanya viondoke katikati ya jiji sasa mbona ndinga zenyewe zinaonekana kimachale ?

Hii ilikutwa na muzikimnene ikisanya routs ya Kariakoo to Mbagala

No comments: