Wednesday, October 22, 2008

BONGO MNA FEEL AJE



Una

mkumbuka jamaa aliye shine na noma ya Unafee aje,, sasa yeye akiwa pamoko na artistes wengine wa hip hop kutoka pande za Kenya wamefanya bonge moja la kolabo pia umo ndani kuna BLACK RHINO amekamua kisawasawa...tega sikio...

No comments: