
Ikiwa ni mfuatiliaji wa muziki huu kitu hiki sio mara ya kwanza kussikika masikioni mwako, wasanii wa bongo flava wapo kwenye nomination ya tuzo za UG. I hope na wengi wanu mtakuwa mmenisoma ikiwa hunihelewe habati ni hivi. Wasanii Professa Jay, AY, Bushoke na Mr Nice wamo kwenye nomination ya tuzo za PAM kwenye kategori ya Msanii Bora Wa Kiume kutoka Tanzania
Muzikimnene ilipoongea na Ambwene Yessayah aka AY amesema ili kumpigia kura unachotakiwa kufanya ni kuandika sms yenye neno “32 AY” kisha unatuma kwenda namba +255 782 601 481.
AY amesisitiza kuwa anawaomba sana waTZ wampe sapoti kama ambavyo wamekuwa wakimpa.
No comments:
Post a Comment