
Moja kati ya bendi za kitambo kwenye game ya muziki wa BongoTwanga Pepeta wamesema hawatarajii kuachia wimbo mwingine kwenye media isipokuwa tu watakapokuwa tayari kuuza albam hiyo.
Akilonga na muzikumnene Mkurugenzi wa bendi hiyo mama Komando aka Asha Baraka amesema wataendelea kuzitumia nyimbo zao mpya kwenye show pekee na si vinginevyo.
Akilonga na muzikumnene Mkurugenzi wa bendi hiyo mama Komando aka Asha Baraka amesema wataendelea kuzitumia nyimbo zao mpya kwenye show pekee na si vinginevyo.
No comments:
Post a Comment