Wednesday, October 29, 2008

AFANDE NDANI YA ULAYA



Baada ya msoto wa muda mrefu akikomaaa na muziki wa Bongo hatimaye matunda ya makamuzi yake yamezidi kuonekana mtu mzima Afande Sele amepata shavu la ukweli baada ya kupata chance ya kwenda kukamua wanakotoka kina Zizou, Henry, Viera n.k
Hiyo ni ndanio ya Ufaransa , katika tour hiyo Afande ataperform kwenye miji kumi tofauti tofauti chini ya mwaliko wa promota maarafu nchin humo anayejulika kwa jina la Michelle. Pia aka Simba Dume ataambatana na washkaji ambao ni Balleti, Juma Mjivi na Eric pamoja na DJ wake K.O.
Hii ni kwamujibu wa meneja wa K.O ambaye ni DJ wa Afande Sele

No comments: