
Maswali yaliyopo ni kuwa Je muzi hii itauza kweli au ndio..Cash Money Record’s CEO Bryan Williams aka Baby aka Birdman ametangaza kuwa hivi sasa yupo kwenye mipango ya kushot filam ambayo wahuzika wakuu yaani ma-staring watakuwa ni yeye na Lil Wayne na itajulikan kwa jina la “Like Father, Baby ameseama muzi hiyo wanatarajia kuwa itaingia sokoni mwezi June mwakani ambapo itaambatana na albam yao ya pamoja.
No comments:
Post a Comment