
Baada ya kupata ajali ya kuanguka kutoka kwenye flat huko Arusha alipokuwa kwenye harakati za kufanya show maalum kwaajili ya Fiesta na kupelekea kuvunjika miguu yake.
Hivi sasa Jose Chameleon anaendelea vizuri kiasi na katika hali ya kushangaza wengi ,,last week hasimu wake mkubwa kwenye muziki nchini Uganda Bobby Wine aliweka chuki ya muziki pembeni na kwenda kumtembelea hospitalini,,Josee alifurahi sana na wameongea mengi baada ya kitambo kirefu.
No comments:
Post a Comment