Monday, October 20, 2008

MUVI YA LUDA YASHIKA NAMBA MOJA


Muvi inayojulikana kwa jina la Max Payne ambayo rapa wa michano ya hip hop Christopher Bridges aka. Ludacris ni kati ya wahusika wakuu imefanya vizuri katika chat za Weekend’s box office kwa kushika namba moja. Muvi hiyo iliyokuwa imetengewa bajeti ya dola millioni 35 za kimarekani pia imewahusisha Mila Kunis, Chris O’Donnell, na Beau Bridges kama wahusika wakuu.

No comments: