Wednesday, October 22, 2008

BLACK CHATA NJIANI MTV & CHANNEL O





Young bro wa Prof Jay Black Rhino amewaomba fans wake wampe sapoti kwa kununua albam yake ya kwanza iliyo sokoni go by ze name “USIPIME” yenye ngoma 10. Akiongea na muzikimnene Black ambaye kwa sasa yupo juu kupitia pini lake la “BLACK CHATA” amelonga kuwa hatarajii kuacha kufanya HIP HOP katika life yake yote ya kimuziki.
Mwanazuoni huyu wa MZUMBE UNIVERSITY yupo kwenye harakati za kushot video za ngoma zake nyingine zilizo ndani ya albam hiyo ikiwemo "Najuua Nimekosa" ft Enika.
“Pia nipo kwenye process za kupeleka video ya “BLACK CHATA” kwenye vituo cha Channel O na MTV baada ya hapo nitaanza kudili na my next project”alisema Rhino

No comments: