
T.I. still anashikilia chat za media tofauti tofauti kwa takribani wiki ya saba sasa huku akiwa anapata challange ya kugombania nafasi hzi na wanadada Beyonce na Rihanna. Single ya “Whatever You Like” pia single ya “Live Your Life” aliyompa shavu Rihanna bado zinatesa si kitoto huku Beyonce akitamba na single yake ya “If I Were A Boy.”.
No comments:
Post a Comment