
Kwa mujibu wa MTV News, inasemekana kuwa mtu mzima Lil Wayne yupo studio akirekodi tracks za albam yake ijayo. Ilidaiwa kuwa mara baada ya kurelease albam zake zilizopita kwa jina la THE CARTER 1,2 & 3 Wayne alisema kuwa huo ndio mwisho wa albam zake kujulikana kwa jina la Carter alkini inadaiwa kuwa mzigo huo unaotarajiwa kuachiwa mwakani pia unaweza kujulikana kwa jina la THE ARTER 4….KAMA VIPI TUSUBIRI TUONEEE
No comments:
Post a Comment