Mwezi uliopita, hakimu Chris Nicolson alifuta mashitaka yaliyokuwa yakimkabili Bw Zuma.
Hakimu huyo alipendekeza kwamba mpinzani wake aliyekuwa rais wa nchi hiyo Thabo Mbeki aliingilia kesi hiyo.
Hukumu hiyo ilitoa fursa kwa chama tawala cha African National Congress, ANC kumwondosha Bw Mbeki madarakani.

No comments:
Post a Comment