Wakazi wa Kipawa wakila msoto kwenye jua kituoni baada ya sehemu ya kupumzikia kubomoka na kisha wajanja wa mjini wakasepa na mabati na nila kitu hali inayofanya wakazi hao kukosa sehemu ya kupumzika wakati wakisubiri daladala.
Thursday, October 23, 2008
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment