Friday, October 31, 2008

THE MAN HIM SELF FROM TIME FM



Jacob Mhina aka DJ KOBO koja kati ya DJ mwenye skillz za kutosha kutoka TIMES FM akiwa kwenye pose maeneo ya kwao pande flani za Ukonga.. Kobo anasema DJz wengi wa kibongo hawaumizi vichwa kujifua kwa mazoezi na ndio maana wanakosa skills za ukweli.
"Mimi nafanya mixing za ukweli muziki wa aina zote sichagui na hakuna siri zaidi ya mazoezi kwa sana, utundu huu niliuanza zamani tangu nikiwa home natumia mashine za mshua" alisema Kobo aka Baba Martha

No comments: