
Yawezekana usiamini habari hii lakini ukweli ndio huu, hivi ni nani Bongo hii asiyeujua mchezo wa BIG BROTHER AFRICA unaofanyika kila mwaka mara moja huko SAUTH AFRICA wengi wetu tunafahamu kuwa wabongo wenzetu Mwisho alikamua vyema na kushika namba mbili pia Richard mwaka jana ndiye aliye ibuka baba lao akiwa ndiye top kabla ya mwaka huu dada (Latoya) yetu alipo bolonga , lakini hiyo siyo story.
Story ni kuwa bingwa huyo wa mwaka jana anadai kuwa kabla ya kujiunga kwenye mchezo huo kumbe hakuwahi kuangalia BIG BROTHER ya mara ya kwanza hata siku moja “Unadhani mshkaji wangu mimi sikuwahi kuangalia mchezo wa kina Mwisho hata saiku moja ila nilivyosikia kuna chance mi nikazamia tu bila hata kujua nini kinatakiwa si unajua tena mimi ni mbishi wa maisha” alisema Richard Bezuidenhout alipokuwa alikonga na muzikimnene.
More about him chek through his web www.richardbba2winner.com
No comments:
Post a Comment