Friday, October 31, 2008
THE MAN HIM SELF FROM TIME FM
Jacob Mhina aka DJ KOBO koja kati ya DJ mwenye skillz za kutosha kutoka TIMES FM akiwa kwenye pose maeneo ya kwao pande flani za Ukonga.. Kobo anasema DJz wengi wa kibongo hawaumizi vichwa kujifua kwa mazoezi na ndio maana wanakosa skills za ukweli.
"Mimi nafanya mixing za ukweli muziki wa aina zote sichagui na hakuna siri zaidi ya mazoezi kwa sana, utundu huu niliuanza zamani tangu nikiwa home natumia mashine za mshua" alisema Kobo aka Baba Martha
Wednesday, October 29, 2008
T.I STILL ANATESA

T.I. still anashikilia chat za media tofauti tofauti kwa takribani wiki ya saba sasa huku akiwa anapata challange ya kugombania nafasi hzi na wanadada Beyonce na Rihanna. Single ya “Whatever You Like” pia single ya “Live Your Life” aliyompa shavu Rihanna bado zinatesa si kitoto huku Beyonce akitamba na single yake ya “If I Were A Boy.”.
AFANDE NDANI YA ULAYA

Baada ya msoto wa muda mrefu akikomaaa na muziki wa Bongo hatimaye matunda ya makamuzi yake yamezidi kuonekana mtu mzima Afande Sele amepata shavu la ukweli baada ya kupata chance ya kwenda kukamua wanakotoka kina Zizou, Henry, Viera n.k
Hiyo ni ndanio ya Ufaransa , katika tour hiyo Afande ataperform kwenye miji kumi tofauti tofauti chini ya mwaliko wa promota maarafu nchin humo anayejulika kwa jina la Michelle. Pia aka Simba Dume ataambatana na washkaji ambao ni Balleti, Juma Mjivi na Eric pamoja na DJ wake K.O.
Hii ni kwamujibu wa meneja wa K.O ambaye ni DJ wa Afande Sele
Monday, October 27, 2008
BABY & WIZZY NDANI YA MUVI

Maswali yaliyopo ni kuwa Je muzi hii itauza kweli au ndio..Cash Money Record’s CEO Bryan Williams aka Baby aka Birdman ametangaza kuwa hivi sasa yupo kwenye mipango ya kushot filam ambayo wahuzika wakuu yaani ma-staring watakuwa ni yeye na Lil Wayne na itajulikan kwa jina la “Like Father, Baby ameseama muzi hiyo wanatarajia kuwa itaingia sokoni mwezi June mwakani ambapo itaambatana na albam yao ya pamoja.
NAKAAYA & BOYFRIEND
WIZZY APATA BABYBOY
NAKO 2 NAKO KAMA P-SQUARE

Baada ya P-Square kufanya kweli kupitia wimbo wa “Do Me” wana hip hop kutoka pande za A-City aka Arusha wanatarajia kuachia dude lao jipya linalojulikana kwa jina la “Do It”
Akiongea na muzikimnene moja kati ya memba wa kundi hilo Ibra Da Hustle anasema kuwa mkono huo umefanyika ndani ya Kama Kawa Records ya Dar pia mpaka sasa wameshakamilisha albam yao mpya ambayo yote imerekodiwa ndani ya wiki mbili ndani ya Bongo Records.
TOP 10 HIT
Chek chat ya pini zinazotamba kwa sasa kwenye game ya Bongo kwa sasa, kama una comments yoyote juu ya chat hii chek nasi watu wa muzikimnene kupitia haramba29@yahoo.co.uk
1. Bado NipoNipo –Mwana FA
2. Usiende Mbali - Juliana & Bushoke
3. Tutaonana Wabaya - Q-Chilla
4. Sirimba – Ngoni & Lady JD
5. My SweetLove - Wahuu
6. Nipe Dili - Ngwear
7. Salary - Nameless
8. Kidato Kimoja - JI
9. Usiniache - Spark
10. Hao – Mwasiti
MTOTO WA MADONNA KURUDI AFRIKA?

David Banda mtoto aliyeasiliwa na mwanamuziki mahiri na mkongwe Lady Madonna nchini Malawi yawezekana akarudi kwa wazazi wake baada ya baba yake mzazi aliye nchini Malawi kueleza kuwa na fikra hizo baada ya kubaini kuwa ndoa ya ngwiji huyo wa miondoko ya POP imevunjika. Baba mzazi huyo anayejulikana kwa jina la Yohane Banda amekaririwa akisema kuwa amekuwa akimwona mtoto wake kwenye vyombo vya habari akizunguka huku na kule kitu ambacho kinampa wasiwasi.
Madona na mumewe Guy Ritchie waliofunga ndoa mwaka 2000 walitangaza kutalikiana hivi karibuni.
“Madona aliniahidi kuwa atamtunza mwanzangu vizuri na na katika mazingira ya kama mtoto wake wa kumzaa alikini kwa hali iliyo hivi sasa naanza kupata wasiwasi
MISTARI BADO NIPO NIPO

Artise: Mwana FA
Song: Bado niponipo
chorus
MwanaFA unaoa lini(bado nipo nipo kwanza)
Unasema(bado nipo nipo sana) * 2
MwanaFa unaoa lini(bado nipo nipo mwana)
Wa kuoa ntakuwa mimi mwana!!?
Verse 1
Japo natokea Tanga mapenzi yalipozaliwa
Sijivishi ufundi nikajifanya nayajua
Mi nna akili timamu naona tu mnavyoyarukia
Ukiniona na demu mzuri haimaanishi ndio ntamuoa
Napata wakati mgumu washkaji wanapolia kwa uchungu
Kwani na mi nna maumivu yangu nasema tu na moyo wangu
Watu wanalalamika wanavyoumizwa na ndoa zao
Wengine wanaficha wanakufa na maumivu yao
Sioi leo,sioi kesho-kutwa wala mtondogoo
Sioi mchana,sioi jioni,usiku wala majogoo
Morale nliyonayo sasa siwezi kubali kuibiwa
Ngoja nizeekezeeke kwanza pengine ntakuja elewa
Eti nizibe maskio Wengine nifumbe macho
Nisione wakati naibiwa?
Hamuwezi kuwa hamjalewa
Mi nikiona mtu anaibiwa naona kama naibiwa mimi
So miaka kadhaa ijayo ndio mniulize naoa lini
Chorus…
Verse 2
Hata nikitaka kuoa niambie ntamuoa nani?
Watu wana watu wao wengine toka zamani
Ukiambiwa we ni boyfriend haimaanishi uko peke yako
Wadogo usoni wanahifadhi wazee wako
Sijui ni dhiki au tamaa tu??
Watoto wanaanika njaa tu
Hawafikirii mapenzi wanachoona wao ni mkwanja tu
Msinipe headache/staki kufuata Mkumbo
Nyi anzeni mi niacheni,staki
kufanya gamble Marafiki wanauzana/ndio zao vicheche
Na daima wanateteana/usiwaamini usiniangushe
Anataka kuolewa na anamegwa kama kawa
Demu wako akiuza wenzake,zinduka nae analiwa/yes’
Staki kuoa sababu staki kulia
Najipanga nisiharibu staki mje kunihurumia
Nafahamu nna Bahati mbaya kama nalala na bundi
Ndio maana sijipi moyo wala sijitii maufundi
Alilala na bibi arusi/siku moja kabla ya arusi
Na wala sio bwana arusi/bado mnanishauri arusi?
Eti nizibe maskio Wengine nifumbe macho
Nisione wakati naibiwa??
Hamuwezi kuwa hamjalewa
Chorus….
Verse 3
Usiseme unaamini mwanamke hata kama unamtania
Watu na akili zao washajichuuza na wakalia
Sikatazi watu kuoa
Na hata nikiwakataza neno langu sio sheria
Sipendi wanawake napenda wanawake wazuri
Wanaojitunza wanajiheshimu sio wa simu na gari
Inahitaji muda kuwapata hakuna anaewajua vizuri
Ndio maana mi nipo nipo sitaki kuvamia shari
Wanatoroka na wazungu/wanamegwa na vibabu
Wanaiba waume za wenzao uso mkavu hawana aibu
Ukitaka wako peke yako labda umuumbe mwenyewe
Au kata mgonjwa uufiche mtaani usishindaniwe
Wakikumegea demu wako nawe tafuta mnyonge ummegee
Haipunguzi maumivu inarudisha hadhi ya kiume
Kumegewa ni jambo moja kukimbiwa ushafkiria??
Sio kila demu umuonae unaweza muoa
Eti nizibe maskio Wengine nifumbe macho
Nisione wakati naibiwa??
Hamuwezi kuwa hamjalewa
Mi nikiona mtu anaibiwa naona kama naibiwa mimi
So miaka kadhaa ijayo ndio mniulize naoa lini
Chorus…
Outro..
Yes yes…it’s yo boy FA Na Hermy B..ni kazi chafu but lazima mtu aifanye
Sipendi wanawake napenda wanawake wazuri
Wanaojitunza wanajiheshimu sio wa mkwanja na gari
Yeeeeah,love is love my people Ladies,behave basi/…au sio??
Song: Bado niponipo
chorus
MwanaFA unaoa lini(bado nipo nipo kwanza)
Unasema(bado nipo nipo sana) * 2
MwanaFa unaoa lini(bado nipo nipo mwana)
Wa kuoa ntakuwa mimi mwana!!?
Verse 1
Japo natokea Tanga mapenzi yalipozaliwa
Sijivishi ufundi nikajifanya nayajua
Mi nna akili timamu naona tu mnavyoyarukia
Ukiniona na demu mzuri haimaanishi ndio ntamuoa
Napata wakati mgumu washkaji wanapolia kwa uchungu
Kwani na mi nna maumivu yangu nasema tu na moyo wangu
Watu wanalalamika wanavyoumizwa na ndoa zao
Wengine wanaficha wanakufa na maumivu yao
Sioi leo,sioi kesho-kutwa wala mtondogoo
Sioi mchana,sioi jioni,usiku wala majogoo
Morale nliyonayo sasa siwezi kubali kuibiwa
Ngoja nizeekezeeke kwanza pengine ntakuja elewa
Eti nizibe maskio Wengine nifumbe macho
Nisione wakati naibiwa?
Hamuwezi kuwa hamjalewa
Mi nikiona mtu anaibiwa naona kama naibiwa mimi
So miaka kadhaa ijayo ndio mniulize naoa lini
Chorus…
Verse 2
Hata nikitaka kuoa niambie ntamuoa nani?
Watu wana watu wao wengine toka zamani
Ukiambiwa we ni boyfriend haimaanishi uko peke yako
Wadogo usoni wanahifadhi wazee wako
Sijui ni dhiki au tamaa tu??
Watoto wanaanika njaa tu
Hawafikirii mapenzi wanachoona wao ni mkwanja tu
Msinipe headache/staki kufuata Mkumbo
Nyi anzeni mi niacheni,staki
kufanya gamble Marafiki wanauzana/ndio zao vicheche
Na daima wanateteana/usiwaamini usiniangushe
Anataka kuolewa na anamegwa kama kawa
Demu wako akiuza wenzake,zinduka nae analiwa/yes’
Staki kuoa sababu staki kulia
Najipanga nisiharibu staki mje kunihurumia
Nafahamu nna Bahati mbaya kama nalala na bundi
Ndio maana sijipi moyo wala sijitii maufundi
Alilala na bibi arusi/siku moja kabla ya arusi
Na wala sio bwana arusi/bado mnanishauri arusi?
Eti nizibe maskio Wengine nifumbe macho
Nisione wakati naibiwa??
Hamuwezi kuwa hamjalewa
Chorus….
Verse 3
Usiseme unaamini mwanamke hata kama unamtania
Watu na akili zao washajichuuza na wakalia
Sikatazi watu kuoa
Na hata nikiwakataza neno langu sio sheria
Sipendi wanawake napenda wanawake wazuri
Wanaojitunza wanajiheshimu sio wa simu na gari
Inahitaji muda kuwapata hakuna anaewajua vizuri
Ndio maana mi nipo nipo sitaki kuvamia shari
Wanatoroka na wazungu/wanamegwa na vibabu
Wanaiba waume za wenzao uso mkavu hawana aibu
Ukitaka wako peke yako labda umuumbe mwenyewe
Au kata mgonjwa uufiche mtaani usishindaniwe
Wakikumegea demu wako nawe tafuta mnyonge ummegee
Haipunguzi maumivu inarudisha hadhi ya kiume
Kumegewa ni jambo moja kukimbiwa ushafkiria??
Sio kila demu umuonae unaweza muoa
Eti nizibe maskio Wengine nifumbe macho
Nisione wakati naibiwa??
Hamuwezi kuwa hamjalewa
Mi nikiona mtu anaibiwa naona kama naibiwa mimi
So miaka kadhaa ijayo ndio mniulize naoa lini
Chorus…
Outro..
Yes yes…it’s yo boy FA Na Hermy B..ni kazi chafu but lazima mtu aifanye
Sipendi wanawake napenda wanawake wazuri
Wanaojitunza wanajiheshimu sio wa mkwanja na gari
Yeeeeah,love is love my people Ladies,behave basi/…au sio??
Sunday, October 26, 2008
HII SI HATARI JAMANI!!!
Saturday, October 25, 2008
Thursday, October 23, 2008
UCHAGUZI WA USA
JUA KALIIIII
Wednesday, October 22, 2008
BONGO MNA FEEL AJE
BLACK CHATA NJIANI MTV & CHANNEL O
Young bro wa Prof Jay Black Rhino amewaomba fans wake wampe sapoti kwa kununua albam yake ya kwanza iliyo sokoni go by ze name “USIPIME” yenye ngoma 10. Akiongea na muzikimnene Black ambaye kwa sasa yupo juu kupitia pini lake la “BLACK CHATA” amelonga kuwa hatarajii kuacha kufanya HIP HOP katika life yake yote ya kimuziki.
Mwanazuoni huyu wa MZUMBE UNIVERSITY yupo kwenye harakati za kushot video za ngoma zake nyingine zilizo ndani ya albam hiyo ikiwemo "Najuua Nimekosa" ft Enika.
“Pia nipo kwenye process za kupeleka video ya “BLACK CHATA” kwenye vituo cha Channel O na MTV baada ya hapo nitaanza kudili na my next project”alisema Rhino
CHAMPION OF CHAMPIONS

Japhet Kaseba yupoJapani kwenye competition ya kickboxing, japo alichelewa kufika huko kwaajili ya matangazo lakini alifika kabla ya competition kuanza rasmi. Pambano lake la kwanza aliumia goti na kusababisha akae nje ya ulingo kwa muda akisubiri kupona, God kampa nguvu kapona na amerudi tena mchezoni
Akiongea na muzikimnene, Kaseba amesema “Nimefanikiwa kuongea na Promoter Mkuu wa K 1 kwa ajili ya kuja kuanzisha K 1 AFRICA kama ilivyoanzishwa K 1 ASIA, K 1 EUROPE na K 1 AMERICA na amekubaliana na mimi kuja kunisaport na hivyo nategemea kuleta fighters wa K 1 kuja kupigana na Kick Boxers wa East Africa mipango imeshaanza kupangwa”
“Natarajia itakuwa December 2008 nategemea kurudi mwezi wa 11 kuja kuweka mambo sawa ya mechi baada ya mechi nategemea kurudi tena Japan kuendelea na Mashindano ya K 1”- Kaseba.
LOVE IS.......
JOSE NA BOBBY

Baada ya kupata ajali ya kuanguka kutoka kwenye flat huko Arusha alipokuwa kwenye harakati za kufanya show maalum kwaajili ya Fiesta na kupelekea kuvunjika miguu yake.
Hivi sasa Jose Chameleon anaendelea vizuri kiasi na katika hali ya kushangaza wengi ,,last week hasimu wake mkubwa kwenye muziki nchini Uganda Bobby Wine aliweka chuki ya muziki pembeni na kwenda kumtembelea hospitalini,,Josee alifurahi sana na wameongea mengi baada ya kitambo kirefu.
CHEKA KIMTINDO!!
UNATAKA KUJINYONGA???
Kuna msela alikuwa ghetto amechill full stressed, kafikiria akaona kama vipi isiwe inshu ngoja ajimuvuzishe kwa sir God, lakini kabla hajafanya hivyo akakumbuka kuna mshkaji wake kipenzi ambaye amekuwa akimpa ma-advice pindi apatapo mitihani kama hiyo.
Akamcall “Oyo mwana mimi nataka kujinyonga maana naona maisha yamezidi kuwa magumu kilasiku naona isiwe tabu, sasa kabla sijafanikisha malengo yangu naomba ushauri wako”
Rafiki yake akamjibu hivi “Haina noma mwana wewe jinyonge tu maana maana matatizo yamekuzidi ila kabla unafanya hivyo naomba unikabidhi ATM Card yako, Laptop yako, vyeti vyako, salio la hela yako yote uliyonayo na zile nguo ulizotumiwa kutoka Marekani baada ya hapo endeleaaa!!!”
Kuna msela alikuwa ghetto amechill full stressed, kafikiria akaona kama vipi isiwe inshu ngoja ajimuvuzishe kwa sir God, lakini kabla hajafanya hivyo akakumbuka kuna mshkaji wake kipenzi ambaye amekuwa akimpa ma-advice pindi apatapo mitihani kama hiyo.
Akamcall “Oyo mwana mimi nataka kujinyonga maana naona maisha yamezidi kuwa magumu kilasiku naona isiwe tabu, sasa kabla sijafanikisha malengo yangu naomba ushauri wako”
Rafiki yake akamjibu hivi “Haina noma mwana wewe jinyonge tu maana maana matatizo yamekuzidi ila kabla unafanya hivyo naomba unikabidhi ATM Card yako, Laptop yako, vyeti vyako, salio la hela yako yote uliyonayo na zile nguo ulizotumiwa kutoka Marekani baada ya hapo endeleaaa!!!”
Monday, October 20, 2008
MAMABO YA USA HAYA
CARTER 4 ?????

Kwa mujibu wa MTV News, inasemekana kuwa mtu mzima Lil Wayne yupo studio akirekodi tracks za albam yake ijayo. Ilidaiwa kuwa mara baada ya kurelease albam zake zilizopita kwa jina la THE CARTER 1,2 & 3 Wayne alisema kuwa huo ndio mwisho wa albam zake kujulikana kwa jina la Carter alkini inadaiwa kuwa mzigo huo unaotarajiwa kuachiwa mwakani pia unaweza kujulikana kwa jina la THE ARTER 4….KAMA VIPI TUSUBIRI TUONEEE
MUVI YA LUDA YASHIKA NAMBA MOJA

Muvi inayojulikana kwa jina la Max Payne ambayo rapa wa michano ya hip hop Christopher Bridges aka. Ludacris ni kati ya wahusika wakuu imefanya vizuri katika chat za Weekend’s box office kwa kushika namba moja. Muvi hiyo iliyokuwa imetengewa bajeti ya dola millioni 35 za kimarekani pia imewahusisha Mila Kunis, Chris O’Donnell, na Beau Bridges kama wahusika wakuu.
CHEKA NA MUZIKIMNENE
MOSHI WA A-TOWN NOMA
Kuna washkaji watatu walikuwa wamechill kwenye chumba flani hivi wanapuliza kitu cha A-City aka Majani, basi bwana mjani ukiwa umekolea kibiriti walichokuwa wakikitumia kikawa kimeisha na still walikuwa wanakihitaji kukitumia ikabidi wamtume mwenzao mmoja kwenda kutafuta kibiriti, mchizi hakupinga ikabidi atoke nje kwenda kuatafuta kibiriti.
Mchizi alipofika nje akazunguka nje ya nyumba hilehile waliyokuwemo kisha akarudi kwa wale wale wana wake alipowakuta akaanza kusemesha huku akiwa anayumba yumba “Oya eehe machizi naombeni kiberiti kama kuna mtu anacho kati yenu?”Wale wawili waliokuwa wamekaa wakamjibu “Kuna mwenetu mmoja ameenda kuazima hapo jirani kama vipi njoo tumsubiri atarudi muda sio mrefu”.
Kuna washkaji watatu walikuwa wamechill kwenye chumba flani hivi wanapuliza kitu cha A-City aka Majani, basi bwana mjani ukiwa umekolea kibiriti walichokuwa wakikitumia kikawa kimeisha na still walikuwa wanakihitaji kukitumia ikabidi wamtume mwenzao mmoja kwenda kutafuta kibiriti, mchizi hakupinga ikabidi atoke nje kwenda kuatafuta kibiriti.
Mchizi alipofika nje akazunguka nje ya nyumba hilehile waliyokuwemo kisha akarudi kwa wale wale wana wake alipowakuta akaanza kusemesha huku akiwa anayumba yumba “Oya eehe machizi naombeni kiberiti kama kuna mtu anacho kati yenu?”Wale wawili waliokuwa wamekaa wakamjibu “Kuna mwenetu mmoja ameenda kuazima hapo jirani kama vipi njoo tumsubiri atarudi muda sio mrefu”.
VIONGOZI WA JIJI MPO!!!
Saturday, October 18, 2008
MUZIKI MNENE
Inakuwaje wana karibu katika blog yetu wakubwa kwa wadogo, wazee kwa vijana, wake kwa waume, hapo nadhani nimemaliza au kuna levo nilizozivuka?? I hope hakuna!! Kama blog yenyewe inavyojieleza muziki mnene ni kweli muziki ni mnene usiupimie!!
Chaguo ni lako tu, mazaga ni mengi yaliyosheheni full maujanja kutoka kona zote za dunia kwenye Entertainment, siasa, jamii na mengine mengi ikiwemo kuchat, news, matukio, vichekesho n.k
Pia unaweza kutumuvuzishia pichazz, comments zako, opinions & anything u want 2 share wit us ila mwanawane matusi na picha zisizofaha hazina chance kabisa katika blog hii. KARIBUNI WOTE & ENJOY
Chaguo ni lako tu, mazaga ni mengi yaliyosheheni full maujanja kutoka kona zote za dunia kwenye Entertainment, siasa, jamii na mengine mengi ikiwemo kuchat, news, matukio, vichekesho n.k
Pia unaweza kutumuvuzishia pichazz, comments zako, opinions & anything u want 2 share wit us ila mwanawane matusi na picha zisizofaha hazina chance kabisa katika blog hii. KARIBUNI WOTE & ENJOY
TWANGA KAMA KAWA

Moja kati ya bendi za kitambo kwenye game ya muziki wa BongoTwanga Pepeta wamesema hawatarajii kuachia wimbo mwingine kwenye media isipokuwa tu watakapokuwa tayari kuuza albam hiyo.
Akilonga na muzikumnene Mkurugenzi wa bendi hiyo mama Komando aka Asha Baraka amesema wataendelea kuzitumia nyimbo zao mpya kwenye show pekee na si vinginevyo.
Akilonga na muzikumnene Mkurugenzi wa bendi hiyo mama Komando aka Asha Baraka amesema wataendelea kuzitumia nyimbo zao mpya kwenye show pekee na si vinginevyo.
MZIGO MKUBWA NDANI YA BONGO
HIINDIO BONGO!!
THE GAME KUTOA DVD YA MAISHA YAKE

Imezoeleka kwa fans kibao kutaka kujua life style ya ma-celeb wao iwe ni kwa bongo au mbelembele.. sasa ikiwa unataka kujua personal life ya mtu mzima THE GAME (former memba wa G-Unit) anatarajia kurelease DVD ambayo itakuwa ikielezea maisha yake tangu alioanza kupata umaarufu mpaka levo alizopo kwa sasa..Umo ndani kuna mastaa wengine kibao baadhi yao ni Snoop Dogg, Kanye West, Katt Williams, Dr. Dre na 50 Cent.
Black Wall Street ndio waliohusika kwenye suala zima la production. Kama vipi unamfeel mchizi ikitoka tu we ruka nayo au vipi mwanaaa!!
Black Wall Street ndio waliohusika kwenye suala zima la production. Kama vipi unamfeel mchizi ikitoka tu we ruka nayo au vipi mwanaaa!!
BONGO FLAVA NDANI YA PAM AWARDS

Ikiwa ni mfuatiliaji wa muziki huu kitu hiki sio mara ya kwanza kussikika masikioni mwako, wasanii wa bongo flava wapo kwenye nomination ya tuzo za UG. I hope na wengi wanu mtakuwa mmenisoma ikiwa hunihelewe habati ni hivi. Wasanii Professa Jay, AY, Bushoke na Mr Nice wamo kwenye nomination ya tuzo za PAM kwenye kategori ya Msanii Bora Wa Kiume kutoka Tanzania
Muzikimnene ilipoongea na Ambwene Yessayah aka AY amesema ili kumpigia kura unachotakiwa kufanya ni kuandika sms yenye neno “32 AY” kisha unatuma kwenda namba +255 782 601 481.
AY amesisitiza kuwa anawaomba sana waTZ wampe sapoti kama ambavyo wamekuwa wakimpa.
ETI RICHARD HAKUWAHI KUUANGALIA BBA!!

Yawezekana usiamini habari hii lakini ukweli ndio huu, hivi ni nani Bongo hii asiyeujua mchezo wa BIG BROTHER AFRICA unaofanyika kila mwaka mara moja huko SAUTH AFRICA wengi wetu tunafahamu kuwa wabongo wenzetu Mwisho alikamua vyema na kushika namba mbili pia Richard mwaka jana ndiye aliye ibuka baba lao akiwa ndiye top kabla ya mwaka huu dada (Latoya) yetu alipo bolonga , lakini hiyo siyo story.
Story ni kuwa bingwa huyo wa mwaka jana anadai kuwa kabla ya kujiunga kwenye mchezo huo kumbe hakuwahi kuangalia BIG BROTHER ya mara ya kwanza hata siku moja “Unadhani mshkaji wangu mimi sikuwahi kuangalia mchezo wa kina Mwisho hata saiku moja ila nilivyosikia kuna chance mi nikazamia tu bila hata kujua nini kinatakiwa si unajua tena mimi ni mbishi wa maisha” alisema Richard Bezuidenhout alipokuwa alikonga na muzikimnene.
More about him chek through his web www.richardbba2winner.com
BONGO MNAM-FEEL OBAMA!!
Sanaa ya ubunifu inazidi kukua ndani ya Bongo, tukiwa tumezoea kusikia majina ya wabunifu kama Masoud Kipanya, Mustapha Has anal na wengineo wengi sasa kizazi kipya kinakuja kwenye game. Giovanni Di Piazza mbunifu chipukizi aliyeanza kuonyesha makali yake kwa kubuni T-Shirts zenye chata ya mgombea uraisi wa USA 2008 kupitia chama cha Democrat Barrack Obama.
Designer huyu mwenye asili ya kiitaliano (upande wa baba) na kitanzania (kwa mama) amesema baada ya kuona mafaniki kutoka kwa kazi yake ya kwanza hiyo aliyoifanya anatarajia kuingia deep zaidi kwenye fani hiyo kwa kuanza kubuni nguo zitakazo kuwa na logo yake ya Di Pizza.
Kwa sasa nguo zake zenye chata ya Obama zinapatikana Mlimani Classic wear, Zizou shops na pia yeye mwenyewe anazitembeza mkononi.
BONGO TOP10
Kwa wale ambao wapo anga za mbali au hata kama upo Bongo hizi ni Top 10 Bongo Flava zinazotamba kwa sana Bongo. Zipo nyingi ambazo zipo juu lakini muzikimnene imezichagua zifuatazo:
1. Bado NipoNipo –Mwana FA
2. Usiende Mbali - Juliana & Bushoke
3. Sirimba – Ngoni & Lady JD
4. Tutaonana Wabaya - Q-Chilla
5. Ndoa Haina Doa – Inspector Haloun
6. Kidato Kimoja - JI
7. Usiniache - Spark
8. Hao – Mwasiti
9. Nipe Dili 0 Ngwear
10. Dunia Njia - Bushoke
Friday, October 10, 2008
Subscribe to:
Posts (Atom)