Thursday, December 11, 2008

WANA KWAYA KAZINI




Wanakwaya wakiwa wanafanya shooting ya moja kati ya nyimbo zao katika viwanja vya Mwalim Nyerere International Airport kama walivyokutwa na John wa muzikimnene. Kwaya hii inapatikana maeneo ya Banana Dar es salaam

No comments: