
Wasanii chipukizi ambao wanabamba kwenye anga za muziki wa r&b ambao inadaiwa kuwa wanamahusiano ya kimapenzi licha ya wao kuwa wanakana na kudai kuwa ni marafiki, picha hii imetumika as a front cover ya kwenye magazine ya VIBE, inayoonyesha wakiwa pamoja.
No comments:
Post a Comment