Hivi karibuni baada ya ukimya wa muda mrefu tangu alipokuwa akitamba na ngoma yake ya "Binti Kiziwi" hatimaye Z-Anto amerejea tena kwenye game kwa kuachia track inayojulikana kwa jina la "Peace & Love" humo ndani akiwa amewapa mashavu memba mwenzie wa TIP TOP CONNECTION namzungumzia Pingu pamoja na mkali kutoka pande za Kenya Jua Kali.
Je wadau wanasubiri hile ilikuwa kabahatisha au kweli mshkaji mkali, tusubiri na tuone ngoma hiyo itapokelewa vipi?
No comments:
Post a Comment