
Umri wake ni mdogo lakini mambo yake kwenye modeling industry ni makubwa, anajulika kwa jina la Prisca Sulle mwanamitindo mwenye umri wa miaka 23. Kwa sasa ameshatuma maombi kwa mawakala wa nje anachosubilia ni majibu tu ili aweze kwenda nje ya Bongo kutuwakilisha levo zile za kimataifa. alisema hayo alipokuwa akizungumza na JOHN wa muzikimnene
No comments:
Post a Comment