
Mkongwe wa kwenye game la muziki wa kizazi kipya JOSEPH HAULE wimbo wake wa "Chemsha Bongo" alioufanya enzi zile yupo na kundi la HBC umechaguliwa kuwa wimbo bora kwa miaka kumi ya kituo cha radio cha Clouds FM tangu kilipoanzishwa mpaka leo.
Clouds alicheza nyimbo 50 bora tangu kuanzishwa kwa radio hiyo miaka 10 iliyopita, baada ya ushindi huo Jay akiwa na BIG WILLE mmoja kati ya memba waliokuwa wakiunda kundi hilo wameahidi kuwa wanakuja tena upya na alba ya kundi soon
No comments:
Post a Comment