Thursday, December 11, 2008

TID YUPO HURU




Msanii Khalid Mohamed ameachiwa huru kutoka jela kutokana na msamaha wa rais Jakaya Kikwete, msanii huyo anayejulikana sana kwa jina la TID alikuwa akitumikia kifungo cha mwaka mmoja jela kutokana na kupatikana na kosa la kumshambulia kwa kumpika mmkazi mmoja wa jijini Dar kwenye ukumbi wa Slipway.

Msamaha huo umekuja siku ambayo Tanzania (wakati ule Tanganyika) ikisheherekewa kutimiza miaka 47 tangu ipate uhuru wake kutoka kwa wakoloni.

No comments: