Monday, December 15, 2008

MISS TZ CHALI KAMA KAWA



Hatimaye mrebo wetu Nasreen Kaim ametoka kappa katika shindano la Miss World lililofanyika jumamosi iliyopita huko Johannesburg, South Africa ambapo mshindi wa shindano hilo amekuwa ni mrembo kutoka Russia ambaye katika kujibu swali alipokuwa kwenye hatua ya watabo bora ilibidi atafsiliwe na mkalimani wake kutoka lugha ya kiingereza kwenda kirusi nandipo alipoweza kujibu swali aliloulizwa.
Pole sana mrembo wetu, hakuna cha kufanya rudi tu bongo kwa Mh Rundenga ajipange upya tusubiri tena zali kama la Nansy Sumari miaka 20 ijayo.
LAKINI WADAU WANGU EHEE HIVI VIPI MBONGO ANGEINGIA KWENYE TANO BORA HALAFU AKAOMBA ATAFSILIWE SWALI KWA KISWAHILI, MMMMHHH SIPATI PICHA MANENO YA WABONGO HAPO….

No comments: