Wajameni hee kuna wadau wangu walikuwa wananiambia eti mimi sura yangu kama paka ndio maana sipendi kujiuzisha kwenye blog yangu,,jamani siyo kiivyo hata mimi ni ka-handsome kadogodogo we mwenyewe si unanichek au kweli nafanana na mbwa au paka.
You know wat??? i go by ze name JOHN JOSEPH HARAMBA
No comments:
Post a Comment