Monday, December 15, 2008

ETI AKA NDIO KAJAMAA NDIO KA MUZIKIMNENE???




Wajameni hee kuna wadau wangu walikuwa wananiambia eti mimi sura yangu kama paka ndio maana sipendi kujiuzisha kwenye blog yangu,,jamani siyo kiivyo hata mimi ni ka-handsome kadogodogo we mwenyewe si unanichek au kweli nafanana na mbwa au paka.

You know wat??? i go by ze name JOHN JOSEPH HARAMBA

No comments: