Monday, December 22, 2008

MAN UTD OYEEEEEEEE



Club ya Man Utd imetwaa ubingwa wa dunia wa vilabu huko katika jiji la wajapani baada ya kuifunga timu ya LDC ya Ecuador kwa goli moja kwa bila, shukrani kwa Rooney aka Mr Maubavu aliyeingiza kimiani koli hilo dk ya 73.

No comments: