
Kundi la BOYS 2 MEN walishindwa kutokea kwenye show ya LIKIZO TYME baada ya mmoja waokuugua ghafla,,memba wa kundihilo WANYA alituma video akiomba radhi kwa usumbufu wowote uliojitokeza kutokana nakutokufika kwao kwenye show hiyo, huku akisisitiza kuwa tatizo sio promota bali ni matatizo ya kawaida ya kibinaadamu. Lkini licha ya kutokuwepo kwao JOE THOMAS pamoja na artises wengine kutoka Jamaica waliweza kuwakirisha vyema.
No comments:
Post a Comment