
Nashukuruni sana wadau na watu wote tuliokuwa pamoja kwa mwaka mzima wa 2008 na sasa Mungu anatujalia ndio hivyo tena tunauaga mwaka huu na kuukaribisha mwaka 2009. Wale wote mliokuwa mkinitumia mails nasema THANX A LOT WATU WANGU NAWAPENDA WOTE.
Amani iendelee kutawala ila ushauri wangu ni kuwa mwaka unaisha kaa chini fikiria umefanya kitu gani cha maana mwaka 2008 ambcho unaweza ukajivunia hata mbele za watu, ili iwe challange kwa mwaka unaofatia.
Kwa mawazo, ushauri na chochoote unachotaka kushare nami nicheki kupitia haramba29@yahoo.co.uk
No comments:
Post a Comment