
Licha ya kwamba albam yake ijayo itakayo julikana kwa jina la “Before I Self Destruct” kutoka kwa 50 Cent ndio itakuwa ya mwisho akiwa chini ya mkataba wa Shady/Aftermath inayomilikiwa na rapa Eminem, msanii 50 Cent amesema kuwa kamwe hato mwacha mshkaji wake huyo yaani Eminem na wataendelea kuwa marafiki wa karibu licha ya kuwa hatokuwa chini yake tena.
No comments:
Post a Comment