Monday, December 29, 2008

AMEBAMBA SANA MWAKA 2008



Mwaka 2008 ulikuwa mwaka wake hasa kwa upande wa hip hop, wimbo wake wa Lolipop umeuza na umejulikana kila pembe ya dunia. Kama hiyo haitosho albam yake ya THE CARTER 3 nayo imeharibu vibaya mno kwenye mauzo ana mbaya ambayo kwake ni nzuri zaidi ni kufunika kwenye kolabo za wasanii wenzake

No comments: