
Mwaka 2008 ulikuwa mwaka wake hasa kwa upande wa hip hop, wimbo wake wa Lolipop umeuza na umejulikana kila pembe ya dunia. Kama hiyo haitosho albam yake ya THE CARTER 3 nayo imeharibu vibaya mno kwenye mauzo ana mbaya ambayo kwake ni nzuri zaidi ni kufunika kwenye kolabo za wasanii wenzake
No comments:
Post a Comment