Monday, December 29, 2008

RAC MWAKA 2008 MMMMMHHHH!!!



Alijaribu sana lakini hakupatya mafanikio yanayoendana na jina lake kwa mwaka 2008. Lakini alisikika sana kwenye vyombo vya habari kutokana nna mahusiano yake na mwana hip hop wa Arusha Lody Eyes. Je mwaka 2009 atafanya nini kurejesha heshima yake

No comments: