Tuesday, December 16, 2008

JAMANI USHINDI RAHA NYIE WE ACHA TU




Yaani ilikuwa ni full kujiachia mwanangu kama ulikosa msafara huu na wewe upo Dar basi utaendelea kujilaumu kwa kukosa tukio hili la kiistoria katika maisha ya kizazi cha sasa kwa sisi wa Bongo.

No comments: