
Kati ya wachezaji wakibongo ambao wataukumbuka mwaka 2008 ni Juna K. Juma. Alinunuliwa kutoka Simba kwenda Yanga kwa gharama ya shilingi millioni 40 za kitanzania, akiwa analipwa mshahara mnono na malupulupu kibao japo hakichezea timu ya taifa Taifa Stars.
No comments:
Post a Comment