Monday, December 15, 2008

TENGA OYEEEEE




Aliyekuwa Rais wa TFF chini Tanzania jana alikabidhiwa madaraka ya kuendelea na cheo chake hicho kwa muda wa mika minne ijayo baada ya kumwaga aliyekuwa mpinzani wake Jamal Malinz,
Hongera Tenga sasa endeleza makamuzi ya ukweli au sio FAZA????

No comments: