Monday, December 22, 2008

BECKHAM ATUA AC MILAN




Baada ya kukilmbilia Marekani anakocheza mpaka sasa katika timu ya LA GALAX mchezajia ambaye yupo kibiashara zaidi David Beckham aimaye ametua rasmi katika club yaAC Milan kwa mkopo wa miezi mitatu, japo kiungo wa timu hiyo Gattuso ambye kwa sasa ni majeruhi amenukuliwa akimponda kimtindo mchezaji huyo kufuatia ujio wake wa miezi mitatu katika timu hiyo kuwa ni sawa na bure.

No comments: