Monday, December 29, 2008

JOHN CENA AFUTIWA MASHITAKA



Crew ya muziki ya nchini Marekani inayojulikana kwa jina la M.O.P (Mashout Posse) wamefuta kesi waliyokuwa wameifungua maalum kwaajili ya nyoyta wa mieleka wa WWE John Cena kuwa alichukua vikorombwezo kutoka kwenye wimbo wao na kuutumia kwenye wimbo wake anaoutumia kuingilia kwenye ulingo pindi anapokuwa kwenye mashindano ya mieleka.
Hasijajulikana kwanini kundi hilo limeamua kuyafuta mashitaka hayo, kwaiyo kwa sasa Cena ambaye ni kipenzi cha wengi ataendelea kuutuia wimbo huo.

No comments: