
Kama kawa wanabongo flava wanazidi kujiachia ndani ya muzikimnene.blogspot.com Ijumaa hii nazungumzia tarehe 19 -12-2008 kijana anayekuja kwa kasi kwenye game ya kibongo akiwa anajulikana kwa jina la ZERO Kanatarajia kuzindua albam yake inayojulikana kwa jina la KUR hilo jina, hilo ni jina la moja kati ya track zilizomo humo ndani. Badhi ya singos JAAN.
Mshakaji sio kwamba ni mwarabu usishangae kwaalizozirelease ni “Njoo Basi” na “Sinyorita”.
Mshkaji anapata sapoti kubwa sana kutoka kwa vijana wa Uhuru FM, WAKALI DJZ. Pichani ni mmoja kati ya memba wa wakali DJZ, Dr K alipokuwa akilonga name.
Pichani ni mmoja kati ya memba wa WAKALI DJZ from UHURU FM akijulikana kwa jina la DR K.