Wednesday, November 26, 2008

HELLO MUZIKIMNENE!!!!!




The gal anajulikana kwa jina la DYNA ni msanii wa kuimba akiwa anatokea pande za Dodoma, hapa alikuwa katika pose, kwa sasa anatamba na ngoma yake aliyompa shavu Marlaw. Kaa tayari kujua mengi kuhusu mrembo huyu kupitia hapahapa muzikimnene.blogspo.com

No comments: