Tuesday, November 4, 2008



Hatimaye BABU ajitoa kundini,,msanii aliyekuwa akiwakilisha kundi la TMK WANAUME HALISI Babu aka Mtambo wa kurekebisha tabia kama anavyojiita yeye mwenyewe ameamua kujitoa kundini baada ya kuohakuna mafanikio aliyokuwa akipata na hakuna upendo wa kweli ndani ya kundi,,kwa hivi sasa Babu amesema kuwa atafanya kazi peke yake nila kuwa na kundi.

No comments: