Unamkumbuka huyu jamaa???? Anaitwa Rado,,,mkali kutoka KIRAKA nadhani utakuwa umesha mrimemba alitamba sana kupitia ngoma ya “Usikulize”..Baada ya hapo akaachia ngoma moja nyingine kasha akaonekana kwenye kolabo kadhaa baada ya hapo akapotea,
Hapa alikuwa AIR PORT akiwa na mchizi wake wa KIRAKA kwenye mishe mishe zake za kawaida ndipo akakutana na John wa muzikimnene.
“Ebwana mi nipo mtu wangu sema skuli ndio imenibana sana si unajua nipo mwaka wa tatu ila usikonde soon mamabo yatakuwa fresh” alisema Rado
Stay tune kujua mengi kuhusu msela huyu kutoka MUZIKIMNENE
No comments:
Post a Comment