For the first-tym ever in A-City wazee wa LIVE BILA ZENGWE aka MAGIC FM ya Dar es salaam siku ya Jumamosi tarehe 15 November 2008 Katika pande hizo watakuwa wakizindua frequency za MAGIC FM kupitia 98.6 FM, show ya nguvu itashushwa ndani ya viwanja vya Nane-Nane ……..Carnival
Katika kunogesha uzinduzi huo wa kihistoria wakazi wa Arusha watapolomoshewa burudani ya nguvu chini ya ma-DJ wa ukweli kutoka MAGIC FM pia wasanii wasio kuwa na idadi watawasha moto wakiwemo Dudu Baya, Nako 2 Nako, Watengwa, Stooper, Dully Sykes na wengine kibao cha kufurahisha zaidi ni kuwa mavituzi yote hayo yanatolewa FREEEEEEEE yaani BUREEEEE
Pichani ni Sam Misago (Prisenter) na DJ Tass wakiwa wamekula pose ndani ya studio za MAGIC FM
No comments:
Post a Comment