Prodyuza Walter akiwa na Salma Msangi wote kutoka MAGIC FM wakiwa mitaa ya A-Town wakati wa tamasha la uzinduzi wa MAGIC FM pande za ARUSHA, Show ilikuwa kali ile yenyewe artistes kibao walikamua kutoka sides za Dar na Arusha kwenyewe.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment