Friday, November 21, 2008

REVIEW YA OPRAH



OPRAH

WaigizajiI: Irene Uwoya 'Oprah',Ray ,Kanumba,Aunt
Mtunzi:Vicent Kigosi 'Ray'

Ray na Kanumba waliwahi soma wote shule ila walipotezana kwa muda mrefu hadi walipokutana tena Kijijini Ray akiwa mambo safi huko Kanumba akiwa choka mbaya,Ray akaamua kumsaidia Kanumba kwa kumchukua na kwenda ishi nae kwake ambako aliahidi mtibia kwania alikuwa anaumwa na kumsomesha ili aweze jiendeleza.

Oprah ambaye ni mke waRay hakupenda ujio wa Kanumba nyumbani kwake na alionyesha chuki za wazi wazi hadi siku yake ya kuzaliwa mabpo Kanumba alimzawadia zawadi ya ua na kuonyesha anamjali kuliko hata mumewe ndipo roho yake ilipomdondokea na kuanza kumtega kimapenzi ambapo kanumba nae alinasa.

Kama ujuavyo penzi ni kikohozi kulificha huwezi mapenzi yao yalikuwa yawazi yaliyopelekea mfanyakazi wa ndani kuyastukia na hadi Oprah kujua wameshajulikana na kuanza mfanyia visa ili aondoke ndani ya ile nyumba

Japo Ray alikuwa anapinga kuondoka kwake ila mwisho wasiku visa vilizidi kwani Opra alimuondosha kwa nguvu kwa kumchukua na kumsafirisha bila lumhirikisha Ray

Nae House Girl hakutaka ondoka hivi hivi alimpigia Ray siku na kumwekeza kuwa kuna barua amemuachia nyuma ya fremu ya picha ambayo ndo ina kisa cha yeye kuondolewa nadani yanyumba ile na mkewe Oprah

Ray alienda ifuata ile barua na alipofika ofisini aliifunga nakusoma ndo alipokuna barua ikieleza kigana ubaga mapenzi ya Oprah na Kanumba na kumuamuru mkewe asitoke nyumbani amsuri anarudi

No comments: