Wednesday, November 5, 2008

CHID BEENZ MUZIKI BASI TENA



Jamani ehee hivi ni kweli Chid Beenz kaamua kuutosa muziki?? mimi sisemi lakini habari ndio hiyo kiongozi huyo wa LA FAMILIA hataki tena kufanya muziki wa kibiashara labda eti awe anaimba na kusikiliza yeye mwenyewe ghetto kwake akiwa na washkaji zake...

Niambie mwana we unazungumziaje hii inshu....

No comments: