Wednesday, November 5, 2008

HATARI!!!!!




Du wazee hii si ni hatyari sana hii,,hapa ni kituo cha Tabata Relini karibu na ofisi za MWANANCHI, gari la mizigo likiwa limeanguka katikati ya reli huku treni ya mizigo ikiwa inapita..Tumshukuru mungu ilikuwa katika speed ndogo.

No comments: