Thursday, November 6, 2008

MR ZEZE aka TID




Msanii wa bongo flava Khalid Mohamed akiwa anajiandaa kupanda kwenye karandina kurejea gerezani anakotumikia kifungo cha mwaka mmoja kutokana na makosa ya kumshabulia mtu mmoja kwenye ukumbi wa SLIP WAY jijini Dar es salaam.
Hapa alikuwa kitoka Mahakamani kukata rufaa dhidi ya hukumu yake hiyo.

No comments: