Monday, June 29, 2009

RONALDO ATAPATA FURAHA KAMA HII TENA?



Ronaldo amekamilishataratibu za kuhamia Real Madrid kutoka Man U. lakini swali la kujiuliza atafanikiwa kuipata furaha kama hii aliyokuwa akiipata Man U.? hakika ni kusuburi na kungoja kitakachotokea.

No comments: