Tuesday, June 2, 2009

MR PAUL KWELI KUREJEA KWENYE GAME ????



Kuna tetesi kuwa mtu mzima Mr Paul aliyewahi kutamba miaka ya mwanzoni mwa 2000 kupitia nyimbo kama vile ZUWENA, GOZIGOZI na nyinginezo nyingi ambazo kwa wale wafuatiliaji watakuwa wanazifahamu inadaiwa mshkaji anmpango wa kurejea kwenye game la muziki baada ya kimya cha muda mrefu.

No comments: