Monday, June 29, 2009

BRAZIL OYEEEEE



Vijana wa kucheza samba, Brazili usiku wa jana wamewakandamiza vijana wa Obamakwa jumala ya mabao 3-2. Lakini katika hali ya kushangaza hadi kipindi cha pili kinamalizika Marekani walikuwa wakiongoza kwa bao 2-0.
Kweli wabrazil wa natisha.

No comments: